Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, Boniface Jacob na Mkuu wa
wilaya hiyo, Paul Makonda wameingia kwenye mvutano kuhusu kuvuka mipaka
ya utendaji wa halmashauri hiyo.
Tuliyaona Magazeti mbalimbali ya
Uarabuni, Australia, South Africa na nchi nyingine kadhaa yakisifia
utendaji kazi wa raisi mpya wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli na sasa ni zamu ya huyu mtangazaji wa TV nchini Nigeria anaesema kwanini Rais Magufuli ni raisi bora wa Afrika kwa sasa.
Baada ya kuandamwa na baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii kuhusu weupe wake, Ray Kigosi amesema kwamba yeye hajawahi kujichubua bali huwa anakunywa maji mengi pamoja na kufanya mazoezi.
Nay wa Mitego amesema mashabiki wamemcharukia kuwa ana mdomo mbaya baada ya taarifa kuwa huenda mimba ya Wema Sepetu imetoka kulingana na post ya mpenzi wake Idriss sultan.
Mwanamitindo maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amejitapa na utajiri
alionao kwa sasa na kusema kwamba uji wa chumvi aliwahi kunywa mara moja
katika kumbukumbu za maisha yake.
WAFANYABIASHARA wa Rwanda wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Rais John
Magufuli katika Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuimarisha ufanisi wa
bandari, kukuza biashara baina ya Tanzania na nchi jirani.
Huyu ndiye Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha Nne toka shule ya Canossa Girls.Anaitwa Butogwa Charles Shija, akiwa mwenye furaha, nyumbani kwa wazazi wake Kipunguni Jijini la Dar es Salaam jana.
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Man United na timu ya taifa ya UingerezaPaul Scholes ambaye amewahi kuichezea klabu ya Man United kwa zaidi ya miaka 15, anatajwa kutaka kuacha kazi yake ya uchambuzi wa soka katika kituo cha BT Sport kwa ajili ya mapenzi yake kwa Man United.
Matokeo
ya awali yaliyotangazwa na Tume ya uchaguzi nchini Uganda yanaonesha
kuwa Rais Yoweri Museveni kwa tiketi ya NRM anaongoza akiwa na zaidi ya
kura milioni 1.3 sawa na asilimia 62.03.
Kwenye U Heard ya Clouds fm leo ni kuhusu mrembo Shilole ambaye tangu kuachana na mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda haijafahamika wazi ni nani mwingine amechukua nafasi, Sasa leo Soudy Broun kamvutia waya na kuhoji kuhusu ukaribu wake na Nedy Music.
Kwa kawaida maandalizi ya Michuano ya Kombe la Dunia hufanyika miaka zaidi ya minne kabla ya nchi husika kuanza kupokea timu katika miji yao. Imekuwa kawaida kwa kila nchi inayotarajia kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia kutengeneza viwanja vipya na vyenye hadhi kwa ajili ya michuano hiyo.
Anguko la shule za sekondari za Serikali zikiwamo za vipaji maalumu
katika matokeo ya mtihani wa kidato cha nne, limedaiwa kusababishwa na
walimu kukata tamaa, miundombinu duni na mazingira magumu ya
kufundishia na kusomea.