
Nay amesema kwenye ngoma yake "shika adabu yako" hakusema moja kwa moja kuwa Wema hajabeba ujauzito ila aliuliza swali kuwa Wema ana mimba kweli au ni Kick za msimu?
Kufuatia Post ya Idriss, Nay anasema wapo waliosema ana mdomo mbaya alaaniwe na wapo waliomuunga mkono kuwa kweli Wema hakuwa na mimba.
0 comments:
Post a Comment